Lulu za Biblia
Key Bible Concepts (Swahili)
Dhana halisi za Biblia
Maneno muhimu katika Biblia yanaweza kuleta utata kwa mtu asiyeyazoea. Waandishi ni wataalum wa lugha ya Biblia wanaoeleza kiini cha ujumbe mkuu wa Biblia. Kitabu kinamfaa hata msomaji asiyefahamu lugha za kibiblia.